USAFI WA MIGUU: Huu ni Usafi wa miguu ambao hautoi tu sumu mwilini mwako lakini utafanya miguu ipumzike, itandoa harufu mbaya ya miguu baada ya kukaa sana viatu na itaua kabisa bakteria mbaya na fungi mwilini. MAHITAJI: 1. Beseni la kuoshea miguu lililojazwa maji ya uvuguvugu 2. Kijiko 1 kidogo cha maji ya limao 3. Kijiko 1 kidogo cha chumvi ya Epsom au baking Soda (Chochote kitakachopatikana) 4. ½ Kijiko cha mafuta ya mzaituni (olive) 5. Majani mawili au matatu ya muarubaini 6. Scrub ya miguu 7. Cream ya miguu yoyote inayopatikana au unaweza kutumia cream ya mwili pia. JINSI YA KUANDAA: Weka vitu vyote vilivyoainishwa (2-5) kwenye bakuli la maji ya moto. Hakikisha kuwa maji yana vuguvugu wa kutosha lakini hayapaswi kuwa moto sana yataunguza ngozi. Loweka miguu yako katika bakuli kwa dakika 15. Sugua miguu kidogo na scrub ya miguu kisha kausha na kitambaa. Paka moisturizer yako na uende kulala. Fanya h...