Skip to main content

Dondoo za kupiga picha nzuri kwa simu yako


Hivi karibuni watu wengi tumekuwa tukiangalia ubora wa simu ndo tuipe maksi, kama ukiona simu yako ina Megapixels 20 basi utafurahi, lakini ubora tu wa kamera ya simu haitoshi kukupa picha nzuri kama tunavyotarajia, kwa upigaji wa picha nzuri inahitaji ujuaji wa utumiaji teknohama iliyounda mfumo wa kamera yako ili ikupe picha nzuri.

Hizi ni dondoo chache za kujua ili simu yako ikupe picha bomba

  • Kujua jinsi ya kuweka “Auto mode”
“Auto mode” ni mfumo ambayo kamera huchagua marekebisho yenyewe kutokana na sehemu uliyopo kama kuna mwanga hafifu, hii itakusaidia sana kupiga picha yenye viwango


  • Kufanya marekebisho ambayo yamewekwa “Override the Defaults”
Simu nyingi za kisasa zinakuja na mipango “settings” moja kwa moja, lakini mara nyingi hushindwa kutambua ni mipango gani iweke kama ukiwa ndani au kukiwa na mawingu, ukijua kubadilisha kutokana sehem ulipo, utaishaidia sana simu yako kupata picha nzuri.


  • Rekebisha “Edit
Hii ni sehem ambayo watu wengi wanaifanya siku hizi, baada ya kupiga picha unaweza ukairekebisha kama kuongeza au kuunguza mwanga, kuikata, kuongeza rangi na kadhalika, lakini kujua ni mfumo “Application” gani nzuri  kwa kufanya hivyo itasaidia sana kuifanya picha yako iwe nzuri kutokana na vitu ambavyo inavyo. Mfano wa mifumo mizuri ni kama Photo Grid, Cymera, Instagram, Aviari n.k


  • Angalia Aina nyingine
Sio lazima utumia kamera ambayo imekuja na simu, unaeza ukaingia kwenye mtandao kama play store na kuangalia kamera amabayo itakufaa Zaidi ili ikupe majibu mazuri zaidi.


  • Usikuze “Don’t Zoom
Simu nyingi zina uwezo wa kukuza au kuvuta kitu ambacho ni cha mbali, lakini haina mfumo madhubuti wa kufanya hivyo, kwa hiyo inachofanya ni kukuza na kukata picha “Zoom and Crop” kabla haijaisave, hii ndio maana inaharibu uzuri wa picha yako .


Mwisho, vidokezo vya ziada ni kwamba hakikisha simu yako umeiweka katika chaguo la juu kabisa la picha inayopiga “Resolution” simu ngine zina uwezo mkubwa sana kama 1080p itakusaidia kupata picha nzuri sana, pia wakati wa kurekodi video tumia DDR au 60 frames per seconds kwa video nzuri, lakini kumbuka unavyopandisha machaguo ndio picha inavyohitaji nafasi kwenye simu yako

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUTUNZA USO WENYE MAFUTA

Ngozi za usoni kama tunavyojua zinatofautiana. Kuna uso mkavu..uso wenye mafuta na uso wa kawaida. Leo hapa ninawaletea namna ya kutunza uso wa mafuta.  Wengi wenu wanayachukia mafuta usoni.. kweli yanakera lakini pia yana uzuri wake. Uso wenye mafuta haushiki mikunjo haraka kama uso mkavu. Hii ndio faida mojawapo kubwa sana ya uso wa mafuta. Na hizi ndio njia za kutunza uso wenye mafuta. 1. Uso wenye mafuta lazima kuoshwa na facewash sio sabuni za kawaida. Kuna facewash za kupunguza mafuta usoni. Madukani zinapatikana kwa wingi au supermarkets. 2. Uso wenye mafuta unaoshwa mara 2 au 3 kwa siku. Na pia ukirudi tokea safari yako unaosha uso kwa maji ya baridi na facewash. 3. Uso wa mafuta hautaki maji ya moto kabisa. Maji ya moto ni sumu kwa uso wa mafuta. Inazidisha joto na kuleta chunusi nyingi usoni. 4. Uso wenye mafuta na wenye chunusi nyingi sana.. hautakiwi kufanyiwa scrub. Ukifanya scrub machunusi hupasuka na kutoa maji maji yanayosambaa na kuzalisha...

Stress Relief

Ways for Stress Free Moments You need relief! Stress relief, that you can use, starting now. Worry about one thing at a time. Women worry more than men do. A study of 166 married couples who kept stress diaries for six weeks found that women feel stress more frequently than men because women tend to worry in a more global way. Whereas a man might fret about something actual and specific such as the fact that he's just been passed over for a promotion a woman will tend to worry abstractly about her job, her weight, plus the well-being of every member of her extended family. Keep your anxiety focused on real, immediate issues, and tune out imagined ones or those over which you have zero control, and you'll automatically reduce stress overload. Once a day, get away. When you're having a hell of a day—good or bad—checking out for 10-15 minutes is revitalizing. Find a place where you can be alone (and definitely ditch the cell phone) the attic, the bathroom, a quie...

NJIA ASILIA YA KUINUA MATITI YALIYOANGUKA,KUPUNGUZA MATITI MAKUBWA NA KUJAZA YALIYOSINYAA

kiukweli matiti yaliyolala humkosesha mrembo raha kuna njia tofauti zaa kuyainua matiti.  K wa wakina dada na mama ambao maziwa yenu yanawakela hii ndo dawa yake fanya kwa wiki mara mbili utayafurahia maziwa yako. Mahitaji olive oil au coconut oil vitamin E oil ndizi mbivu yai la kienyeji juice ya kitunguu maji 1tbsp Njia ya kwanza safisha maziwa yako vizuri kisha chukua ute wa yai upige kwa kijiko ulainike ongeza juice ya kitunguu maji paka matiti yako acha ikauke Njia YA PILI kama matiti yako ni makubwa fanya njia hii ya pili kama sio makubwa iache tangawizi 1tsp limao1tsp changanya mchanganyiko huo kisha paka matiti yako kwa dkk tano iache ikauke usioshe twende hatua ya tatu kama titi lako limesinyaa baada ya kumaliza hatua au njia ya kwanza fanya hii chukua kiazi mviringo kikwangue na kikwaruzo pakaa matiti yako acha ikauke usioshe. ...