Skip to main content

JINSI YA KUKUZA NYWELE HARAKA





Wanawake wa kiafrika hua wana nywele fupi na ngumu, yaani hii ni asili yao tofauti na wanawake wa rangi zingine duniani kama wachina, wazungu, wajapani, wafilipino na kadhalika.. nywele za waafrika mara nyingi haziwi ndefu lakini kutokana na kubadilika kwa teknolojia, sasa hivi kuna uwezekano wa kukuza nywele zao kwa kufuata kanuni kadhaa za urembo na afya kama ifuatavyo.
Tumia hina na Yai
Kila baada ya siku nne uwe na utaratibu wa kupakaa mchanganyiko wa hina na mayai, iwe na paste nzito kiasi, upake katika mizizi ya nywele, ukimaliza kupaka nywele zifunike kwa mfuko maalum ili zipate joto kwa muda wa masaa mawili,

Baada ya hapo zioshe kwa maji na shampoo, lakini maji yawe ya baridi yasiwe ya motooo au vuguvugu, yani yawe maji ya kawaida. Baada ya kuziosha zikaushe kwa taulo
Zifahamu aina ya  nywele zako
kitu cha kwanza kujua ni kizifahamu nywele zako, kuna watu wanakaa na nywele bila kujua nwele zake ni za iana gani,Jinsi ya kujua aina ya nywele zako , chomoa nywele moja katika kichwa chako na uhakikishe imetoka na kale kamzizi kanakokuwa na rangi ya weupe ivi, kisha dumbukiza unywele huo kwenye glasi yenye maji na angalia kama unywele uo unaleta matokeo gani,kama itazama mara moja na haitanyanyuka tena basi jua nywele yako inanyonya unyevu kwa haraka ivyo inaitaji kuwa na unyevu unyevu na kama .

Linda umyevu wa nywele zako.
kama ilivyo kiu kwa binadamu, ndivyo hivyo nywele huitaji maji, kwaio kipindi unapokuwa unaosha nywele zako kabla ya kuzipaka mafuta ya kulinda nywele zako jitahidi kuwa una fanya  deep condition ili kuzifanya zibaki na unyevu .
Usafi wa ngozi na nywele zenyewe pia.
Kuna watu wanasema kuwa nywele zikioshwa mara kwa mara zinadumaa, lakini ulishawahi kujiuza endapo wewe utakaa bila kuoga.Nywele zinahitajika kuwa safi na ngozi yake pia ili kuifanya ngozi kufunguka na sio kufungwana ule uchafu wa mafuta.Matundu yanapokuwa wazi ndio ufanya nywele kuweza kujitokeza ivyo jitahidi kuosha nwele na kuhakikisha kuwa ngozi yako ni safi.

 Chagua Mafuta  bora ya kupaka
Jitahidi kuchagua mafuta mazuri kwa ajili ya nywele zako.sio kila mafuta yanafaa kupaka katika nywele zako ingawa mafuta ya nazi ni mazuri zaidi au mafuta ya olive.kitu kizuri ni kuzijua nywele zako kwanza ndipo utaweza kujua pia bidhaa bora ya mafuta kwa ajili ya nywele.Ukishindwa ni bora kuonana na wataalamu wa mambo ya urembo.
Epuka kuzisumbua nywele kila wakati.
Ni vizuri kuwa unachana nywele kwa muoekano mzuri wa sura yako na nwele pia, lakini kitendo icho ufanya nywele kuwa zinapuputika sana,jitahidi kuwa unazisuka ili kuzifanya zikue pia.Kuchana chana nywel ni kuzisumbua.
Inawezekana inakuwa ni ngumu kutambua nywele zake zinahitaji mafuta ya aina gani, au bidhaa gani ni bora zaidi kwa nywele zako, ni vizuri pia kuonana na wataalamu ili kuzisaidia nywele zako.

Comments

Popular posts from this blog

NAMNA YA KUTUNZA USO WENYE MAFUTA

Ngozi za usoni kama tunavyojua zinatofautiana. Kuna uso mkavu..uso wenye mafuta na uso wa kawaida. Leo hapa ninawaletea namna ya kutunza uso wa mafuta.  Wengi wenu wanayachukia mafuta usoni.. kweli yanakera lakini pia yana uzuri wake. Uso wenye mafuta haushiki mikunjo haraka kama uso mkavu. Hii ndio faida mojawapo kubwa sana ya uso wa mafuta. Na hizi ndio njia za kutunza uso wenye mafuta. 1. Uso wenye mafuta lazima kuoshwa na facewash sio sabuni za kawaida. Kuna facewash za kupunguza mafuta usoni. Madukani zinapatikana kwa wingi au supermarkets. 2. Uso wenye mafuta unaoshwa mara 2 au 3 kwa siku. Na pia ukirudi tokea safari yako unaosha uso kwa maji ya baridi na facewash. 3. Uso wa mafuta hautaki maji ya moto kabisa. Maji ya moto ni sumu kwa uso wa mafuta. Inazidisha joto na kuleta chunusi nyingi usoni. 4. Uso wenye mafuta na wenye chunusi nyingi sana.. hautakiwi kufanyiwa scrub. Ukifanya scrub machunusi hupasuka na kutoa maji maji yanayosambaa na kuzalisha...

Foods That Will Give You Glowing Skin

Research reveals that our skin is a mirror of our internal bodily health, for every single food item we consume and how it affects our body is manifested clear upon the surface of our skin. Individuals who devour heals of sugary treats, fatty foods and processed treats tend to experience a fast and premature aging process, as their collagen is broken down much more quickly, which causes their skin to lose all its radiance and glow. However, on the bright side, nature provides us countless foods and fruits that aid our skin and protect it from all kinds of weather conditions, be it excessively sunny or dryness-inducing cold, to retain our summertime freshness and glow all year-round. The idea is to pick out farm-fresh produce, fresh and ripe fruits, nutrient-packed veggies and healthy fats. At the same time, it is essential to cut down the consumption of sugar as it speeds up the aging process of the skin, triggering the emergence of too many wrinkles and causing the skin too loo...

Stress Relief

Ways for Stress Free Moments You need relief! Stress relief, that you can use, starting now. Worry about one thing at a time. Women worry more than men do. A study of 166 married couples who kept stress diaries for six weeks found that women feel stress more frequently than men because women tend to worry in a more global way. Whereas a man might fret about something actual and specific such as the fact that he's just been passed over for a promotion a woman will tend to worry abstractly about her job, her weight, plus the well-being of every member of her extended family. Keep your anxiety focused on real, immediate issues, and tune out imagined ones or those over which you have zero control, and you'll automatically reduce stress overload. Once a day, get away. When you're having a hell of a day—good or bad—checking out for 10-15 minutes is revitalizing. Find a place where you can be alone (and definitely ditch the cell phone) the attic, the bathroom, a quie...